Posts

Showing posts from February, 2018

DC wa Shinyanga aendesha oparesheni ya mazingira na usafi

Image
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameendesha oparesheni ya usafi na Mazingira kukagua usafi na miti iliyotelekezwa na kuwawajibisha wananchi ambao miti yao imekufa kwa kulipa faini ya shilingi 50,000/= kwa kila mti na kuwataka wapande miti mingine.  Mkuu huyo wa wilaya amefanya oparesheni hiyo Februari 24,2018 katika mitaa mbalimbali mjini Shinyanga ambapo kila mwananchi ambaye miti iliyopandwa kwenye eneo lake imekufa aliwajibishwa kwa kufanya uzembe na kusababisha miti ife.  Katika opareshini hiyo kila mwananchi aliyepigwa faini alikuwa anapatiwa risiti ya malipo na aliyeshindwa kulipa alikuwa anapandishwa kwenye gari la polisi kwa hatua zaidi za kisheria. Akizungumza wakati wa oparesheni hiyo Matiro ambaye alikuwa ameambatana na maafisa mbalimbali na askari polisi alisema hataki kuona miti iliyopandwa kupitia kampeni ya upandaji miti iliyozinduliwa Septemba 23,2017 yenye kauli mbiu ya ‘Shinyanga Mpya,Mti Kwanza’ inakufa kwa uzembe kwani walikubaliana kil...

Manchester united win 2-1 over chelsea

Image
It was an excellent weekend for Manchester United. Jose Mourinho's side beat Chelsea 2-1 at Old Trafford thanks to goals from Romelu Lukaku and Jesse Lingard. Lukaku also set up the winner and was deservedly Man of the Match against his former club, while Nemanja Matic also came back to haunt Chelsea with an excellent second half display. "He played fantastically well," Mourinho said of Lukaku. "He had, in my opinion, the same start as the team. "But then he went together with the team, the team was improving, improving, improving and he probably finished the game, for people [watching] at home, with the image of that incredible sprint that could have handed him a goal but handed an image of a team that gave absolutely everything to try and win an important match for us."